DIWANI ADAM SIMBAYA AGAWA UPENDO KWA WAJUMBE WDC MBALIZI ROAD
Diwani Kata ya Mbalizi Road Jijini Mbeya Mhe Adam Simbaya awashukuru Wajumbe wa WDC Kata ya Mbalizi Road kwa ushirikiano mkubwa wanaotoa katika Kata hiyo.
Hayo ameyaongea katika Kikao cha WDC kilichofanyika Matema Beach Wilayani Kyela na kuwashukuru Wajumbe hao kwa ushirikiano walioutoa kwa kipindi chote.
Pamoja na Kuwaaga Wenyeviti ambao wanamaliza muda wao, Mhe Diwani alitoa zawadi kwa wenyeviti wake wote wa Mitaa Minne kwa niaba ya WDC ikiwa ni kumbukumbu yao kwa kipindi ambacho kimebakia kumalizia nafasi ya wenyeviti wa mitaa
Comments
Post a Comment